POST DEREVA WA MASHUA/VIVUKO DARAJA LA II – 1 POST
POST CATEGORY(S) TRANSPORT AND LOGISTICS
EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe
APPLICATION TIMELINE: 2021-05-07 2021-05-19
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.Kufunga na kufungua kamba za mashua/kivuko;
ii.Kuchunga usalama wa abiria na magari yaliyomo ndani ya mashua/vivuko;
iii.Kupanga abiria au magari kwenye mashua/vivuko;
iv.Kuendesha na kuongoza mashua/vivuko;
v.Kutunza daftari za safari ya mashua/vivuko
vi.Kuhakikisha kwamba injini za vivuko zipo katika hali nzuri ya kufanya kazi; na
vii.Kuangalia mafuta na vyombo vingine vya kufanyia kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa Waliohitimu Mtihani wa Kidato cha Nne, wenye ujunzi wa kuendesha na kutunza mashua/vivuko uliothibitishwa na Chuo cha Dar es salaam Marine Institute au Chuo kingine chochote kinachotambuliwa na Serikali kwa muda usiopungua miaka miwili; na waliofuzu mafunzo ya miezi sita ya uokoaji wa maisha majini, kuogelea na kupanga watu na magari kwenye mashua/vivuko.
REMUNERATION TGOS A.
The deadline for submitting the application is 19Â May 2021.