
POST DETAILS
KATIBU SHERIA DARAJA LA II – 35 POST
EMPLOYER Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS)
APPLICATION TIMELINE: 2023-02-13 2023-02-19
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kupokea nakala za kumbukumbu za Mahakama zinazohusu mashauri ya jinai;
ADVERTISEMENT
ii. Kuweka kumbukumbu (diary) ya tarehe ya kusikiliza Mashauri, Kuwasilisha hati mbalimbali mahakamani na pande zinazohusika;
iii. Kufuatilia hati zinazohitajika katika mashauri ya jinai;
iv. Kutunza majalada ya kesi za jinai;
ADVERTISEMENT
v. Kupokea ratiba ya mashauri (cause listing), kuandaa majalada yanyohusika, na kuyapeleka kwa Mkuu wa Sehemu kwa ajili ya kuwapangia Mawakili wa Serikali;
vi. Kutunza majalada ya kesi za jinai;
vii. Kuweka Kumbukumbu ya Sheria na Miswada ya Sheria ndogondogo; na
viii. Kufanya kazi nyingine kama atakavyoelekezwa na Mkuu wake wa kazi
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa Wahitimu wa kidato cha nne/sita wenye Stashahada ya Sheria (Diploma in Law) kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION AGCS 1.1
ADVERTISEMENT